Biblia inasema nini kuhusu kutafuta – Mistari yote ya Biblia kuhusu kutafuta

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kutafuta

Mathayo 7 : 8
8 kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.

Mathayo 6 : 33
33 ⑩ Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *