Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kupika
Kumbukumbu la Torati 14 : 21
21 Msile nyamafu yoyote; waweza kumpa mgeni aliye ndani ya malango yako, ili apate kula; au kumliza mtu wa mataifa; kwa kuwa wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mamaye.
Ezekieli 24 : 10
10 Tia kuni nyingi, uchochee moto, itokose nyama sana, fanyiza mchuzi mzito, mifupa ikateketee.
Hosea 7 : 8
8 Efraimu ajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate usiogeuzwa.
Leave a Reply