Biblia inasema nini kuhusu Kisloth-Tabori – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kisloth-Tabori

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kisloth-Tabori

Yoshua 19 : 12
12 kisha ukazunguka kutoka Saridi kwendelea upande wa mashariki kwa kuelekea maawio ya jua hata kufikia mpaka wa Kisiloth-ubori; kisha ukatokea hata Daberathi, kisha ukakwea kwendelea Yafia;

1 Mambo ya Nyakati 6 : 77
77 Nao mabaki ya Walawi, wana wa Merari, wakapewa, katika kabila la Zabuloni; Rimona pamoja na viunga vyake, na Tabori pamoja na viunga vyake;

Yoshua 19 : 18
18 ⑧ Na mpaka wao ulifikia Yezreeli, Kesulothi, Shunemu;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *