Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Joiada
Nehemia 12 : 11
11 Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.
Nehemia 12 : 22
22 Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameorodheshwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.
Nehemia 13 : 28
28 Na mwana mmoja wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe Sanbalati, Mhoroni, basi nikamfukuza kwangu.
Leave a Reply