Biblia inasema nini kuhusu jicho la tatu – Mistari yote ya Biblia kuhusu jicho la tatu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia jicho la tatu

Mathayo 6 : 22 – 24
22 ① Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa kamili, mwili wako wote utakuwa na nuru.
23 ② Lakini jicho lako likiwa bovu, mwili wako wote utakuwa na giza. Basi ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa giza; si giza hilo!
24 ③ Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.

Mathayo 4 : 16
16 Watu wale waliokaa katika giza Wameona mwanga mkuu, Nao waliokaa katika nchi na uvuli wa mauti Mwanga umewazukia.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *