Biblia inasema nini kuhusu Heber – Mistari yote ya Biblia kuhusu Heber

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Heber

1 Mambo ya Nyakati 5 : 13
13 na ndugu zao wa koo za baba zao; Mikaeli, na Meshulamu, na Sheba, na Yorai, na Yakani, na Zia, na Eberi, watu saba.

1 Mambo ya Nyakati 8 : 22
22 Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;

Mwanzo 46 : 17
17 Na wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na Sera, dada yao. Na wana wa Beria ni Heberi, na Malkieli.

Hesabu 26 : 45
45 Wa wana wa Beria; wa Heberi, jamaa ya Waheberi; wa Malkieli, jamaa ya Wamalkieli.

1 Mambo ya Nyakati 7 : 32
32 Na Heberi akamzaa Yafleti, na Shomeri, na Hothamu, na dada yao, Shua.

Luka 3 : 35
35 wa Serugi, wa Regau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala,

Waamuzi 4 : 11
11 Basi Heberi, Mkeni,[7] alikuwa amejitenga na Wakeni, yaani na wana wa Hobabu, shemeji yake Musa, akaipiga hema yake mbali penye mwaloni ulioko Saananimu, karibu na Kedeshi.

Waamuzi 4 : 17
17 Lakini Sisera akakimbia kwa miguu, akaifikia hema ya Yaeli mkewe Heberi, Mkeni; kwa maana palikuwa na amani kati ya Yabini, mfalme wa Hazori, na nyumba ya Heberi, Mkeni.

Waamuzi 4 : 21
21 ① Ndipo Yaeli, mkewe Heberi, akatwaa kigingi cha hema, akashika nyundo mkononi mwake, akamwendea polepole, akamtia kile kigingi katika kipaji chake, nacho kikapenya, hata kuingia mchangani; kwa maana usingizi mzito ulikuwa umemshika; basi akazimia, akafa.

Waamuzi 5 : 24
24 ⑱ Atabarikiwa Yaeli kuliko wanawake wote; Mkewe Heberi, Mkeni, Atabarikiwa kuliko wanawake wote hemani.

1 Mambo ya Nyakati 4 : 18
18 Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.

1 Mambo ya Nyakati 8 : 17
17 Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *