Biblia inasema nini kuhusu Hamutal – Mistari yote ya Biblia kuhusu Hamutal

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Hamutal

2 Wafalme 23 : 31
31 Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala; akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Hamutali binti Yeremia wa Libna.

2 Wafalme 24 : 18
18 ③ Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Hamutali, binti Yeremia wa Libna.

Yeremia 52 : 1
1 Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja hapo alipoanza kumiliki; naye akamiliki miaka kumi na mmoja huko Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Hamutali, binti Yeremia wa Libna.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *