Biblia inasema nini kuhusu Funga – Mistari yote ya Biblia kuhusu Funga

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Funga

Waamuzi 3 : 25
25 Wakangoja hadi wakatahayari; na tazama, hakuifungua milango ya chumba; basi wakatwaa ufunguo, na kuifungua; na tazama, bwana wao alikuwa ameanguka chini, naye amekufa.

Nehemia 3 : 14
14 ⑧ Na lango la jaa akalijenga Malkiya, mwana wa Rekabu, mtawala wa sehemu ya wa Beth-hakeremu; akalijenga, akaisimamisha milango yake, na vyuma vyake, na makomeo yake.

Wimbo ulio Bora 5 : 5
5 Nikaondoka nimfungulie mpendwa wangu; Mikono yangu ilidondosha manemane, Na vidole vyangu matone ya manemane, Penye vipini vya komeo.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *