Biblia inasema nini kuhusu Fumbo – Mistari yote ya Biblia kuhusu Fumbo

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Fumbo

Waamuzi 9 : 15
15 Huo mti wa miiba ukaiambia miti, Ikiwa kwa kweli mnanitia mafuta niwe mfalme juu yenu, basi njoni mkakae chini ya kivuli changu; la sivyo, na utoke moto katika mti wa miiba na kuiteketeza mierezi ya Lebanoni.

Isaya 11 : 8
8 Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa kunyonya atatia mkono wake katika pango la fira.

Isaya 35 : 10
10 Na hao waliokombolewa na BWANA watarudi, watafika Sayuni wakiimba; na furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; nao watapata kicheko na furaha, huzuni na kuugua zitatoweka.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *