Biblia inasema nini kuhusu Enoshi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Enoshi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Enoshi

Mwanzo 4 : 26
26 Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.

Mwanzo 5 : 11
11 Siku zote za Enoshi ni miaka mia tisa na mitano, akafa.

Luka 3 : 38
38 ⑰ wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 1
1 Adamu, na Sethi, na Enoshi;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *