Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Elieli
1 Mambo ya Nyakati 5 : 24
24 Na hawa ndio wakuu wa koo za baba zao; Eferi, na Ishi, na Elieli, na Azrieli, na Yeremia, na Hodavia, na Yadieli; wapiganaji vita hodari, watu mashuhuri, wakuu wa koo za baba zao.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 34
34 mwana wa Elkana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu;
1 Mambo ya Nyakati 8 : 20
20 na Elienai, na Silethai, na Elieli;
1 Mambo ya Nyakati 8 : 22
22 Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;
1 Mambo ya Nyakati 11 : 47
47 Elieli, na Obedi, na Yaasieli Mmesobai.
1 Mambo ya Nyakati 12 : 11
11 Atai wa sita, Elieli wa saba;
1 Mambo ya Nyakati 15 : 9
9 ⑪ wa wana wa Hebroni; Elieli mkuu wao, na nduguze themanini;
1 Mambo ya Nyakati 15 : 11
11 Tena, Daudi akawaita Sadoki na Abiathari makuhani, na hao Walawi, Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu,
2 Mambo ya Nyakati 31 : 13
13 Na Yehieli, Azaria, Nahathi, Asaheli, Yerimothi, Yozabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi, na Benaya, walikuwa wasimamizi chini ya mkono wa Konania na Shimei nduguye, kwa amri ya Hezekia mfalme, na Azaria mkuu wa nyumba ya Mungu.
Leave a Reply