Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Dishon
Mwanzo 36 : 21
21 na Dishoni, na Eseri, na Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
Mwanzo 36 : 30
30 jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 38
38 Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.
Mwanzo 36 : 25
25 Na hawa ni wana wa Ana, Dishoni, na Oholibama, binti Ana.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 41
41 Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.
Leave a Reply