Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zizah
1 Mambo ya Nyakati 23 : 11
11 Naye Yahathi alikuwa mkubwa wao, na Zina alikuwa wa pili; lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; basi wakahesabiwa pamoja kama ukoo mmoja.
1 Mambo ya Nyakati 23 : 10
10 Na wana wa Shimei; Yahathi, na Zina, na Yeushi, na Beria. Hao wanne walikuwa wana wa Shimei.
Leave a Reply