Biblia inasema nini kuhusu Zaanaim – Mistari yote ya Biblia kuhusu Zaanaim

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Zaanaim

Yoshua 19 : 33
33 Na mpaka wao ulikuwa kutoka Helefu, tokea ule mwaloni ulio katika Saananimu, na Adami-nekebu, na Yabneeli, hadi kufikia Lakumu; na matokeo yake yalikuwa katika mto wa Yordani;

Waamuzi 4 : 11
11 Basi Heberi, Mkeni,[7] alikuwa amejitenga na Wakeni, yaani na wana wa Hobabu, shemeji yake Musa, akaipiga hema yake mbali penye mwaloni ulioko Saananimu, karibu na Kedeshi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *