Biblia inasema nini kuhusu Yehozabadi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Yehozabadi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Yehozabadi

2 Wafalme 12 : 21
21 Kwa maana Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakampiga, naye akafa; wakamzika pamoja na babaze mjini mwa Daudi. Na Amazia mwanawe akatawala mahali pake.

2 Mambo ya Nyakati 24 : 26
26 Na hawa ndio waliomfanyia fitina, Zabadi mwana wa Shimeathi mwanamke Mwamoni, na Yehozabadi mwana wa Shimrithi mwanamke Mmoabi.

1 Mambo ya Nyakati 26 : 4
4 Naye Obed-edomu alikuwa na wana; Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, na Sakari wa nne, na Nethaneli wa tano;

2 Mambo ya Nyakati 17 : 18
18 na wa pili wake Yehozabadi, na pamoja naye elfu mia moja na themanini waliojiweka tayari kwa vita.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *