Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia wasioamini Mungu
Yakobo 2 : 24
24 ⑧ Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.
Zaburi 100 : 3
3 Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.
Leave a Reply