Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia waovu
Mithali 24 : 19 – 20
19 Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;
20 ② Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.
Ezekieli 18 : 23
23 ⑬ Je! Mimi ninafurahia kufa kwake mtu mwovu? Asema Bwana MUNGU; si afadhali kwamba aghairi, na kuiacha njia yake, akaishi?
Mithali 25 : 26
26 Mwenye haki amwangukiapo mtu mbaya Ni kama chemchemi iliyochafuka, Na kisima kilichokanyagwa.
Leave a Reply