Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Chalcol
1 Wafalme 4 : 31
31 Kwa kuwa alikuwa na hekima kuliko watu wote; kuliko Ethani Mwezrahi, na Hemani, na Kalkoli, na Darda, wana wa Maholi; zikaenea sifa zake kati ya mataifa yote yaliyozunguka.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 6
6 ⑥ Na wana wa Zera; Zabdi, na Ethani, na Hemani, na Kalkoli, na Darda; hao wote ni watano.
Leave a Reply