Biblia inasema nini kuhusu Waepikuro – Mistari yote ya Biblia kuhusu Waepikuro

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Waepikuro

Mathayo 11 : 18
18 Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakasema, Ana pepo.

Luka 7 : 33
33 ⑧ Kwa kuwa Yohana Mbatizaji alikuja, hali mkate wala hanywi divai, nanyi mwasema, Ana pepo.

Mhubiri 2 : 10
10 Wala sikuyanyima macho yangu chochote yalichokitamani; wala sikuuzuia moyo wangu katika furaha yoyote; maana moyo wangu ulifurahi kwa sababu ya kazi yangu yote, na hii ilikuwa sehemu yangu katika kazi yangu yote.

1 Wakorintho 15 : 32
32 Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nilipigana na hayawani wakali kule Efeso, nina faida gani? Wasipofufuliwa wafu, na tule, na tunywe, maana kesho tutakufa.

Matendo 17 : 18
18 ⑫ Na baadhi ya Waepikureo na Wastoiko, wenye ujuzi, wakakutana naye. Wengine wakasema, Mpuzi huyu anataka kusema nini? Wengine walisema, Anaonekana kuwa mtangaza habari za miungu migeni, kwa maana alikuwa akihubiri habari za Yesu na ufufuo.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *