Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia vita
Zaburi 18 : 39
39 Nawe umenipa nguvu za vita, Hunitiishia chini yangu walionishambulia.
Waefeso 6 : 12
12 ⑧ Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Leave a Reply