Biblia inasema nini kuhusu Uzinzi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Uzinzi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uzinzi

Mambo ya Walawi 19 : 29
29 Usimnajisi binti yako, ili kumfanya awe kahaba; isiwe hiyo nchi kuuandama ukahaba, na nchi kujawa na uovu mkuu.

Kumbukumbu la Torati 23 : 17
17 Pasiwe na kahaba katika binti za Israeli, wala pasiwe na hanithi katika wana wa Israeli wanaume.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *