Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uzinzi
Mambo ya Walawi 19 : 29
29 Usimnajisi binti yako, ili kumfanya awe kahaba; isiwe hiyo nchi kuuandama ukahaba, na nchi kujawa na uovu mkuu.
Kumbukumbu la Torati 23 : 17
17 Pasiwe na kahaba katika binti za Israeli, wala pasiwe na hanithi katika wana wa Israeli wanaume.
Leave a Reply