Biblia inasema nini kuhusu Uvumi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Uvumi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uvumi

Mambo ya Walawi 19 : 16
16 ⑳ Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu[9] ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.

Zaburi 50 : 20
20 Umekaa na kumsengenya ndugu yako, Na mwana wa mama yako umemsingizia.

Mithali 11 : 13
13 Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.

Mithali 20 : 19
19 Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *